Ray 4 real
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 800
- 762
Habari za mchana wakuu ni binti wa miaka 25 natafuta Kazi yoyote halali isipokuwa kuuza bar , lakini kaz zote halali naweza ..
Kama waitress, housekeeper, kuuza duka, kuuza shell n.k, namaanisha Kazi inayoendana na elimu yangu.
Nimesomea hotel management na Nina uzoefu wa miaka 3 kwenye hotel industry. Nina elimu ya kidato cha 4 Niko tayar kufanya mkoa wowote..ila Mimi naishi Dar Natanguliza shukrani
Kama waitress, housekeeper, kuuza duka, kuuza shell n.k, namaanisha Kazi inayoendana na elimu yangu.
Nimesomea hotel management na Nina uzoefu wa miaka 3 kwenye hotel industry. Nina elimu ya kidato cha 4 Niko tayar kufanya mkoa wowote..ila Mimi naishi Dar Natanguliza shukrani