Asante kwa mchango wakoTuna picha yako nione mwonekano wako nikupe Kazi ya kuuza vipodozi dukani kwangu
Haya endelea kutafutaMtaani sitaki nataka huku,
Basi kama hatokeagi nilitaka kuconversate nae nione kama tungeweza piga kazi sehem fulan.Nilkwambia ni pm hukutokea
Mbona nilikucheki mkuu mpaka nijakutumia hadi no??Nilkwambia ni pm hukutokea
Utapeli wako hujaachaga tuBasi kama hatokeagi nilitaka kuconversate nae nione kama tungeweza piga kazi sehem fulan.
Ila ndo kama hata mliotangulia hakuonesha ushirikiano basi.
Ukimueka dadaako nahis atakuwa na muonekano mzuri zaidi wa kuvutia wateja mkuuTuna picha yako nione mwonekano wako nikupe Kazi ya kuuza vipodozi dukani kwangu
Acha kutupotezea muda na upuuzi wako humu! Au ww ndio tapeli. Watu wanataka ajira serious usilete bange humu dogo.Utapeli wako hujaachaga tu
Hahahaaa naona jiwe limempata muhusika kupanic vepee nakujua sana kuliko unavofikiria ukionaga bandiko la mtu kuomba kaz unajifanya unataka kusaidia bila kujua watu wanatumia I'd tofauti kumbe ndo walewale .. Tapeli mkubwa ww.. Wasalimie IringaAcha kutupotezea muda na upuuzi wako humu! Au ww ndio tapeli. Watu wanataka ajira serious usilete bange humu dogo.
Heshim watu kwa majib yako ya hapa hataile kazi kukusanya tozo za wateja wanaoingia vyooni hufai.
Mm nahtajTuna picha yako nione mwonekano wako nikupe Kazi ya kuuza vipodozi dukani kwangu
Mmmmhhhh is this true?Hahahaaa naona jiwe limempata muhusika kupanic vepee nakujua sana kuliko unavofikiria ukionaga bandiko la mtu kuomba kaz unajifanya unataka kusaidia bila kujua watu wanatumia I'd tofauti kumbe ndo walewale .. Tapeli mkubwa ww.. Wasalimie Iringa
naomba picha nijue wapi utafitHabari za mchana wakuu ni binti wa miaka 25 natafuta Kazi yoyote halali isipokuwa kuuza bar , lakini kaz zote halali naweza
Nimesomea hotel management na Nina uzoefu wa miaka 3 kwenye hotel industry. Nina elimu ya kidato cha 4 Niko tayar kufanya mkoa wowote.. Natanguliza shukrani
Yeah it's trueMmmmhhhh is this true?
Habari za mchana wakuu ni binti wa miaka 25 natafuta Kazi yoyote halali isipokuwa kuuza bar , lakini kaz zote halali naweza
Nimesomea hotel management na Nina uzoefu wa miaka 3 kwenye hotel industry. Nina elimu ya kidato cha 4 Niko tayar kufanya mkoa wowote.. Natanguliza shukrani
Mkuu nimekujibu pmUnaujuzi wa kufanya sales kwa kusambaza bidhaa za kilevi? Pia unajua kuendesha gari na leseni ya ureva iliyo hai?
Wakuu habar zenu na mimi natafuta kazi ni msichana nina umri wa miaka 20 naishi dar nimesoma computer.
Ndio kusomaKusoma computer ndio nini?
Kuna kazi zimetoka AICC, Jaribu kuomba sasa >>>AICC<<<Habari za mchana wakuu ni binti wa miaka 25 natafuta Kazi yoyote halali isipokuwa kuuza bar , lakini kaz zote halali naweza
Nimesomea hotel management na Nina uzoefu wa miaka 3 kwenye hotel industry. Nina elimu ya kidato cha 4 Niko tayar kufanya mkoa wowote.. Natanguliza shukrani