Kiba
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 459
- 62
Habari wana jamii mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 25 taaluma yangu ni kidato cha nne baadaye nikachukua ualimu wa English medium diploma 2 years na kufanya kazi ya ualimu kwa muda wa miaka miwili na nusu sasa nimepunzika nyumbani .naomba kwa taasisi ,kampuni iliyotayari uhitaji wa mchapakazi tuwasiliane kwa email hii amedeusmushi88@gmail.com .