Rashidabdallah
Member
- Oct 5, 2012
- 29
- 1
Habari zenu wanajukwaa?
Nina utaalamu wa kufanya kazi za utafiti na nimewahi kufanya maeneo yote mjini na vijijini, ni mzoefu katika kazi zangu nikiwa na ujuzi wa kutosha. Kwa yeyote anae hitaji mtu kwa nafasi inayohusiana na kazi yangu naomba tuwasiliane nipo tayari.
Ahsanteni.
Nina utaalamu wa kufanya kazi za utafiti na nimewahi kufanya maeneo yote mjini na vijijini, ni mzoefu katika kazi zangu nikiwa na ujuzi wa kutosha. Kwa yeyote anae hitaji mtu kwa nafasi inayohusiana na kazi yangu naomba tuwasiliane nipo tayari.
Ahsanteni.