Cod-2
JF-Expert Member
- Jun 11, 2017
- 297
- 437
Salaam zenu wakuu, mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 24 nimehitimu elimu ya secondary yani kidato cha nne na sita. Nimepitia mafunzo ya jkt nina hakili Timamu. Naomba kama kuna kampuni au mtu anayefahamu kampuni yenye uitaji wa ombi langu anisaidie tuwasiliane, nipo pwani kibaa mtaa picha ya ndege.
NB: nitafanya kazi sehemu yoyote nchini kulingana na makubaliano.
Mawasiliano 0764573163 au 0629542125
NB: nitafanya kazi sehemu yoyote nchini kulingana na makubaliano.
Mawasiliano 0764573163 au 0629542125