Natafuta kazi ya ulinzi.

Natafuta kazi ya ulinzi.

Nenda g4s secure solution ipo mwanza branch wanataka sana watu waliopita jkt watakuchua bila shida na wanalipa vizuri mno tena unapangiwa mgodini na mshahara ni mzuri tu hutojuta unahudumiwa kila kitu kula bure kulala na kusafirishwa kurudi likizo kigezo kikubwa jkt

Kwani ukipangiwa mgodini utakua unalipwa dhahabu?? Au unagaiwa kitalu?
 
Wazee huu uzi upo poa, ngoja na mie nitililikie humu humu!
Kuna mdogo wangu (mtoto wa bamdogo) Ana elimu ya form four pia amesomea ufundi umeme VETA ana grad one. Anatafuta kazi kwa yeyote mwenye kujua au kumsaidia apate kazi, hata alianza kwa temporarily siyo mbaya.
Natanguliza shukrani.
Anzisha Uzi wako mkuu kwani sh ngap
 
Back
Top Bottom