MoonBoy
Senior Member
- Jul 15, 2016
- 195
- 133
Naitwa Rashidi omary Khatibu, umri wangu miaka 27, Mzawa wa tanga... Ila kwa sasa naishi Arusha
Kazi niliokua nafanya ni kusafirisha mizigo mbalimbali kwenda mikoani kwa njia ya maroli, nikiwa kama dereva... Ila kwenye kazi kama mnavyojua hazikosi kasumba ndogondogo.
Nina mwezi wa sita sasa toka nimesimamishwa kazi.. Nimezunguka Arusha nzima hii... Kazi ni ngumu. Mpaka siku ya jana, nimejikuta tu nimeingia mpaka kwenye nyumba binafsi nikajua ni kampuni,... Yote hio ni shida na ukosefu wa kazi.
Ndugu zangu, Kiukweli mimi ni mwanaume kama nyinyi... Naombeni mwenye ramani ya kazi ya udereva wa gari yeyote kasoro SEMI tu.. Mana sikuwahi kulitumikia... Gari yeyote jamani Naendesha... Leseni yangu imejaa madaraja yote kasoro pikipiki tu... Na cheti cha veta ninacho cha CLASS C
Nipo jijini Arusha.... Naombeni msinikebei ndugu zangu... Mana nimemaliza mji.. Naona niombe ndugu zangu humu ndani...
Tafadhali kama una ramani... Nicheki INBOX.. Tusaidiane wanaume wenzangu... Asanteni
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Kazi niliokua nafanya ni kusafirisha mizigo mbalimbali kwenda mikoani kwa njia ya maroli, nikiwa kama dereva... Ila kwenye kazi kama mnavyojua hazikosi kasumba ndogondogo.
Nina mwezi wa sita sasa toka nimesimamishwa kazi.. Nimezunguka Arusha nzima hii... Kazi ni ngumu. Mpaka siku ya jana, nimejikuta tu nimeingia mpaka kwenye nyumba binafsi nikajua ni kampuni,... Yote hio ni shida na ukosefu wa kazi.
Ndugu zangu, Kiukweli mimi ni mwanaume kama nyinyi... Naombeni mwenye ramani ya kazi ya udereva wa gari yeyote kasoro SEMI tu.. Mana sikuwahi kulitumikia... Gari yeyote jamani Naendesha... Leseni yangu imejaa madaraja yote kasoro pikipiki tu... Na cheti cha veta ninacho cha CLASS C
Nipo jijini Arusha.... Naombeni msinikebei ndugu zangu... Mana nimemaliza mji.. Naona niombe ndugu zangu humu ndani...
Tafadhali kama una ramani... Nicheki INBOX.. Tusaidiane wanaume wenzangu... Asanteni
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app