Paulo J Mwamtekele
New Member
- Jan 21, 2020
- 3
- 2
Natafuta nafasi ya udereva ndugu zangu ninauzoefu wa miaka kumi na mbili(12) katika kazi hii leseni yangu ina madaraja A.B.C.C1C2.C3.E.F.G. Nimesomae mafunzo ya udereva katika chuo cha taifa cha NIT.
Naombeni msaada kama kunamtu anakampuni au kama kuna mtu anajua kama kunasehemu kuna hitajika madereva.0689517393.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni msaada kama kunamtu anakampuni au kama kuna mtu anajua kama kunasehemu kuna hitajika madereva.0689517393.
Sent using Jamii Forums mobile app