tanzania kwetu
New Member
- Apr 17, 2012
- 3
- 0
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23,nitakuwa likizo kwa muda wa miezi miwili kama kuna kazi itatokea inahitaji dereva niko tayari kufanya kazi kwa makubaliano.
Ni mwanachuo chuo kikuu cha tumaini,college ya Lushoto,nina driving licence yenye madaraja yafuatayo A,D na E lakini najua pia kuandika na kuzungumza kingereza kwa kazi itakayotaka language proficiency.
wasiliana nami hapa:
wiseman89@live.com
Nitakujibu haraka sana.
Ni mwanachuo chuo kikuu cha tumaini,college ya Lushoto,nina driving licence yenye madaraja yafuatayo A,D na E lakini najua pia kuandika na kuzungumza kingereza kwa kazi itakayotaka language proficiency.
wasiliana nami hapa:
wiseman89@live.com
Nitakujibu haraka sana.