Natafuta kazi ya uber

Natafuta kazi ya uber

Iyo gari unayo endesha ww mkataba au
Mkataba unamaanisha nini si kila kazi lazima usainishwe mkataba wa kazi au neno mkataba umelitumia kama lugha ya kijiweni inamaana kitu kingine tofauti na huuu naoujua mimi?
 
Mkataba unamaanisha nini si kila kazi lazima usainishwe mkataba wa kazi au neno mkataba umelitumia kama lugha ya kijiweni inamaana kitu kingine tofauti na huuu naoujua mimi?
kwenye uber mkataba unamaanisha hivi:: hesabu kwa wiki laki 2 ila baada ya miaka 2 gari lako....yaani dereva akimaliza mda wa mkataba miaka 2 anakabithiwa gari kisheria, service kwa dereva....na maisha inamaana hivi:: hesabu 150000 kwa wiki service kwa boss ila mda wowote boss anaweza chukuwa gari lake hata ufanye miaka 4
 
Mkataba unamaanisha nini si kila kazi lazima usainishwe mkataba wa kazi au neno mkataba umelitumia kama lugha ya kijiweni inamaana kitu kingine tofauti na huuu naoujua mimi?
ila kote lazima usign mkataba ila ipo tofauti mzee
 
kwenye uber mkataba unamaanisha hivi:: hesabu kwa wiki laki 2 ila baada ya miaka 2 gari lako....yaani dereva akimaliza mda wa mkataba miaka 2 anakabithiwa gari kisheria, service kwa dereva....na maisha inamaana hivi:: hesabu 150000 kwa wiki service kwa boss ila mda wowote boss anaweza chukuwa gari lake hata ufanye miaka 4
Kwaiyo iko kama biashara ya bodaboda au bajaji
 
kwenye uber mkataba unamaanisha hivi:: hesabu kwa wiki laki 2 ila baada ya miaka 2 gari lako....yaani dereva akimaliza mda wa mkataba miaka 2 anakabithiwa gari kisheria, service kwa dereva....na maisha inamaana hivi:: hesabu 150000 kwa wiki service kwa boss ila mda wowote boss anaweza chukuwa gari lake hata ufanye miaka 4
200000÷7= inamaana unaniletea kwa kila siku 28571.428 ×30= 857142.9 ×12(miezi) =10285714 × 2(years)= 20571428.6 alaf gari umenunua M 12 kumbe kuna faida eeeeeeehhh
 
200000÷7= inamaana unaniletea kwa kila siku 28571.428 ×30= 857142.9 ×12(miezi) =10285714 × 2(years)= 20571428.6 alaf gari umenunua M 12 kumbe kuna faida eeeeeeehhh
Nunua tufanye kazi boss
 
200000÷7= inamaana unaniletea kwa kila siku 28571.428 ×30= 857142.9 ×12(miezi) =10285714 × 2(years)= 20571428.6 alaf gari umenunua M 12 kumbe kuna faida eeeeeeehhh
faida ipo sana tu....
 
200000÷7= inamaana unaniletea kwa kila siku 28571.428 ×30= 857142.9 ×12(miezi) =10285714 × 2(years)= 20571428.6 alaf gari umenunua M 12 kumbe kuna faida eeeeeeehhh
Yani niwekeze 12m kwa kupata 20000 kwa siku!!!!,wakati muuza matikiti kwenye mkokoteni mtaji 60000 anakunja 25000 daily.What the f**** Business.
 
Yani niwekeze 12m kwa kupata 20000 kwa siku!!!!,wakati muuza matikiti kwenye mkokoteni mtaji 60000 anakunja 25000 daily.What the f**** Business.
Sio mfanya biashara wewe
 
mzuka, hapana bana,, nakutania, weka nia na uweke bidii, utaweza
Nia yako nikupata gari tu la bure baada ya mkataba kutoka kwangu huna lolote wewe vijana si waamini nyinyi mtaenda kutambia kijiweni kwa madem hamtaleta fedha
 
Nia yako nikupata gari tu la bure baada ya mkataba kutoka kwangu huna lolote wewe vijana si waamini nyinyi mtaenda kutambia kijiweni kwa madem hamtaleta fedha
Heee hapo gari litakuwa sio la bure tena! Maana nitakuwa nimetumika vya kutosha. Kushinda barabarani 24/7 miaka 2 sio issue ya kitoto!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom