Natafuta kazi ya ualimu

Natafuta kazi ya ualimu

Omari Issa

Senior Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
168
Reaction score
45
Habari wakuu JF?
Bila shaka mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku katika ujenzi wa taifa. Natoa rai kwa watakaopitia uzi huu kuwa natafuta kazi kwa wenye nafasi za kazi. Si uungwana kukejeli, kukebehi, kudharau ama kuponda kwa namna yoyote.
…………………………………………………………
Natafuta kazi ya kufundisha kwa yoyote mwenye nafasi ya kuajiri iwe shirika la kielimu ama shule. Nimebobea katika ufundishaji (ualimu) na IT/ICT hivyo ninao uwezo wa kuleta mabadiliko chanya katika taasisi yako.
Kwa ufupi nina vigezo na sifa vya kuajirika na uzoefu katka maeneo tajwa hapo juu.
Natanguliza shukrani za dhati kwa atakayeguswa na hili.
 
Habari wakuu JF?
Bila shaka mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku katika ujenzi wa taifa. Natoa rai kwa watakaopitia uzi huu kuwa natafuta kazi kwa wenye nafasi za kazi. Si uungwana kukejeli, kukebehi, kudharau ama kuponda kwa namna yoyote.
…………………………………………………………
Natafuta kazi ya kufundisha kwa yoyote mwenye nafasi ya kuajiri iwe shirika la kielimu ama shule. Nimebobea katika ufundishaji (ualimu) na IT/ICT hivyo ninao uwezo wa kuleta mabadiliko chanya katika taasisi yako.
Kwa ufupi nina vigezo na sifa vya kuajirika na uzoefu katka maeneo tajwa hapo juu.
Natanguliza shukrani za dhati kwa atakayeguswa na hili.
Uko wap?
 
Habari wakuu JF?
Bila shaka mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku katika ujenzi wa taifa. Natoa rai kwa watakaopitia uzi huu kuwa natafuta kazi kwa wenye nafasi za kazi. Si uungwana kukejeli, kukebehi, kudharau ama kuponda kwa namna yoyote.
…………………………………………………………
Natafuta kazi ya kufundisha kwa yoyote mwenye nafasi ya kuajiri iwe shirika la kielimu ama shule. Nimebobea katika ufundishaji (ualimu) na IT/ICT hivyo ninao uwezo wa kuleta mabadiliko chanya katika taasisi yako.
Kwa ufupi nina vigezo na sifa vya kuajirika na uzoefu katka maeneo tajwa hapo juu.
Natanguliza shukrani za dhati kwa atakayeguswa na hili.
Unafundisha masomo gani na umesoma chuo gani na course IPI???
 
kwa hiyo username labda utafte kazi ya kumwaga zege, nayo cna uhakika kama utaiweza

Thanks! I can't deny what you say as you see its a piece of advice to me! But never judge a book by looking at its cover!
 
WEWE MWIZI HUNA TAALUMA YA UALIMU

mkuu hutakiwi kusema hivyo
chunguza na ujiridhishe ndo unene. Niite kwenye interview ujue kama sina taaluma ya ualimu. Acha hizo bwana. Kama upo kazini kumbuka kuna wengine tunahangaika kumuomba Mungu kutafuta kazi. Acha kebehi!
 
Anaehitaji Mwalimu Wa Chemistry Na Biology Anicheki 0744184776/0715531957
 
Habari wakuu JF?
Bila shaka mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku katika ujenzi wa taifa. Natoa rai kwa watakaopitia uzi huu kuwa natafuta kazi kwa wenye nafasi za kazi. Si uungwana kukejeli, kukebehi, kudharau ama kuponda kwa namna yoyote.
…………………………………………………………
Natafuta kazi ya kufundisha kwa yoyote mwenye nafasi ya kuajiri iwe shirika la kielimu ama shule. Nimebobea katika ufundishaji (ualimu) na IT/ICT hivyo ninao uwezo wa kuleta mabadiliko chanya katika taasisi yako.
Kwa ufupi nina vigezo na sifa vya kuajirika na uzoefu katka maeneo tajwa hapo juu.
Natanguliza shukrani za dhati kwa atakayeguswa na hili.
Jaribu kucheki private school
 
umesoma chuo gani,
course ipi
na level gani certficate, diploma au degree?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom