Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,403
- 40,313
Kama kweli uko vizuri kwenye mathematics ya A-level (Advanced maths & BAM),andaa CV na peleka katika shule zilizopo Mkoani Kilimanjaro na Arusha;natumai utapata pa kuanzia.
Hebu niunganishe mimi pia mkuu,ulichonga nao wakasemaje
Nitawacheki mkuu nijaribu bahati yanguSHULE YA SEKONDARI MAURICE inawatangazia wazazi na walezi wote kwamba tunapokea wanafunzi kidato cha kwanza mwaka 2019, nafasi za kuamia kidato cha kwanza na cha pili pia tuna kituo cha mitihani kwa watahiniwa wa kujitegemea na Q.T. Vile vile pia tunapokea wanafunzi wa kidato cha tano kwa michepuo ya ECA, HGE, HGK, HKL na HGL. ADA ni nafuu sana. Shule ni ya kutwa na bweni kwa wavulana na wasichana. Shule ipo Dar es salaam wilaya ya temeke, eneo LA mbande kisewe. Simu 0785907371. Wote munakaribishwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sio kazi rahisi kama unavyodhani....but nikiwa kwenye ajira naweza kutunga vitabu coz hata huo mtaji nitaweza kuupata
Mkuu nimefutilia comment zako humu jukwaani....siwezi kukujibu hili swali lako sababu ni mtu usiye na msaada wowote zaidizaidi ya kuwadhihaki watu haswa wanaotafuta ajira...acha ambao hawana haja ya kujua nimemaliza chuo gani na mwaka gani wakitokea watanisaidia na wakihitaji hizo details nitawasiliana nao na kuwatumia...kwa wewe hapana mkuu sihitaji msaada wako wowote....sorry kama nitakuwa nimekukwazaUmemaliza chuo gani? Na mwaka gani haya ni maswali muhimu kuyajibu hapa hapa bila DM
mkuu hiyo milioni moja kwangu mimi ni pesa kubwa sana....but ahsante kwa maoni yako umenifungua akiliNa sio ngumu kama unavofikiria, inawezekana munatishwa tu ili muogope watu wapige hela. Lakini ukiwa na mtaji wa milioni 1 tu basi unaanza uzuri sana!
Usijali! Mungu atakupa wepesi.mkuu hiyo milioni moja kwangu mimi ni pesa kubwa sana....but ahsante kwa maoni yako umenifungua akili
Upo sehemu gani?Habari kaka nimesomea Kiswahili na history unaeza nisaidia??