Natafuta kazi ya salon/barber shop

Natafuta kazi ya salon/barber shop

Edgar Bisoo

Member
Joined
May 19, 2021
Posts
28
Reaction score
51
Mimi ni kijana wa miaka 36/7 ninaishi dar es salaam.

Ninatafuta kazi ya barber shop. Uzoefu wangu ni miaka 6 japo niliacha kwa muda.

Pia nina wazo kubwa la biashara ambayo ina mfanano ya mambo kama hayo ya salon na urembo.

Natanguliza shukrani.
 
Tafuta mtaji ufungue Salon yako ndani ya soko la kariakoo
 
Back
Top Bottom