Natafuta Kazi ya Networking/IP Engineer

Nilienda Huawei wapo ktk jengo la ACACIA, nilijaribu nionane na viongozi kama IP manager /specialist, HR dada wa mapokezi alinikatalia lakini nieacha CV yangu.
 
Nilienda Huawei wapo ktk jengo la ACACIA, nilijaribu nionane na viongozi kama IP manager /specialist, HR dada wa mapokezi alinikatalia lakini nieacha CV yangu.
Usichoke kusambaza CV.
 
usisubiri watangaze go for it kabla unaweza kuwa one among the first ...mara nyingi kutangaza huwa ni kazi za chini na kufuata formalities
 
usisubiri watangaze go for it kabla unaweza kuwa one among the first ...mara nyingi kutangaza huwa ni kazi za chini na kufuata formalities
Nimeshazunguka na CV zangu kupeleka company mbalimbali na bado nazunguka.
 
Uliapply.
 
Nilienda kwa hao kinotel, lab ni elfu 20 kwa saa mmoja, ila wameniambia kwa sasa wanafunzi wao tu ndio wanatumia wakimaliza, watanipigia simu ili nami nianze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…