Natafuta Kazi ya Networking/IP Engineer

Wewe acha zarau zako za kijinga. Na injinia yako una maisha gani ya maana apa mjini?! Wenye maisha wote na pesa wana wapo hkl ..sasa endelea kuleta ujuaji
 
Kuna Kampuni inaitwa MAKTECH,ofisi zao zipo africana,nyuma ya kituo cha daladala kama unaelekea mjini,fika pale,wape makabrasha yako,wanakazi nyingi za TX,za voda,Tigo,
Maktech wamepata tenda lini? maana nimepeleka CV mara 3 lakini wananiambia hawana kazi kwa sasa
 
Acha biashara za kukatisha tamaa watu, mwenye post yako watu negative kama huyu wala usiwasikilize.
Sasa hapo nimemkatisha tamaa vipi.

Kwani kubwa freelancer kuna tabu gani mkuu. Nyie ndio mmekariri kwamba ni lazima ukimaliza shule uajiriwe.

Kumbe unaweza kuwa mjanja ukijiajiri pia na kuajiri wengine.

Kwa CV hiyo hakuna IT Manager atakubali mshkaji awepo nae. Kila mtu analinda ugali wake.

Acha uoga wa maisha.

*** Mkuu tafuta mtaji fungua kampuni yako upige pesa. Mambo ya kuajiriwa yaliisha enzi ya Jakaya.***
 


Kuna ukweli unaouma hapa
 
Mwombee kwa Manager wako aje kupiga kazi kwenu oune kama ajawakalisha wewe na Manager wako.

Hizo Qualifications alizonazo huyu dogo wewe huna.
 
Mkuu mimi sijasoma, hata hizo hkl sielewi ni nini.

Niliacha shule la saba, nilifukuzwa baada ya kufumaniwa darasani.
 
Mwombee kwa Manager wako aje kupiga kazi kwenu oune kama ajawakalisha wewe na Manager wako.

Hizo Qualifications alizonazo huyu dogo wewe huna.
Haaaha kwa hiyo ukimuita jamaa kwenye kampuni ni kwamba unajifukuzisha kazi aiseee.....
 
Anza kutafuta sehemu ya kufanyia mazoezi kijana hata kwenye makampuni yanayofundisha hizo kozi za CCNA/CCNP unakuta wanavyo vifaa unalipia kwa masaa tu unajipigia mazoezi yako ya kutosha maana wengi wako vizuri theory ila ukiwapa Linksys/Cisco ruter yoyote wanashindwa hata wapi wachomeke console cable na watumie program gani ku login...

Ukiwezaa mazoezi basi kaa mkao wa kula na post za utumishi kazi yoyote ya network engineer iombe kisha nenda piga utatoboa mwanangu...Ukifika pale makumbusho kuna kampuni moja wiki iliyopita nilieenda kuihudumia nikakuta wanavyo vifaa vya Cisco vya kutosha (Switches na Routers) inaitwa Kinotel ukitaka kupiga mazoezi ya vifaa hivyo unaweza enda pale ukalipia ukapata uzoevu wa ku interact na vifaa in real life kuliko ku simulate mzee baba.
 
Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…