Sasa kuuza hilo duka.... ni kwamba unamaanisha mwenye duka halihitaji tena mpaka aliuze? Sidhani kama kuna wateja wengi wanahitaji kununua duka la dawa...Habari, naomba nafasi ya kuuza duka la dawa maeneo ya Dar es salaam. Nina uzoefu na pia nina vyeti ambavyo vinavyotambulika na baraza la famasi.
Contact number.. 0652602624
Punguza bangiSasa kuuza hilo duka.... ni kwamba unamaanisha mwenye duka halihitaji tena mpaka aliuze? Sidhani kama kuna wateja wengi wanahitaji kununua duka la dawa...
Ningekushauri labda utafute kazi ya kuuza dawa kwenye duka la madawa... ingekuwa rahisi sana kupata kazi
Yani wewe ndio unatafuta kazi kweli?Umepoteza muda ya kuandika hii text kama hujaelewa kama kimya
Oooh! kumbe haji kuuza dawa kwenye duka bali anatafuta kazi ya kuliuza duka lenyewe (kuuza duka) [emoji44][emoji44][emoji44]Sasa kuuza hilo duka.... ni kwamba unamaanisha mwenye duka halihitaji tena mpaka aliuze? Sidhani kama kuna wateja wengi wanahitaji kununua duka la dawa...
Ningekushauri labda utafute kazi ya kuuza dawa kwenye duka la madawa... ingekuwa rahisi sana kupata kazi
Kwa jeuri hii, utapata malipo hapahapa duniani ...Umepoteza muda ya kuandika hii text kama hujaelewa kama kimya
DUU..! 😱 KUMBE MADUKA YA DAWA HUWA YANAUZWA..! UMENIFUMBUAkuuza duka la dawa
Tunamwelimisha makosa yake analeta kiburi. Watu kama hawa ndo huishia kuishi kwa dada zao kwa viburi vya kijingaDUU..! 😱 KUMBE MADUKA YA DAWA HUWA YANAUZWA..! UMENIFUMBUA
Na hilo duka sijui ataliuza kwa jumla au rejareja. Kwa majibu yake huyu,atakayempa kazi haitachukua muda atajua kosa alilolifanya...Kwa ukaidi na majibu yako hayo [emoji115][emoji115] hapo juu subiri uje uuze duka lako mwenyewe