N NDEKUYO Senior Member Oct 6, 2012 184 33 Oct 6, 2012 #1 Nimesomea cheti cha kuuza duka la dawa muhimu (TFDA)natafuta kazi ni msichana naheshimu kazi na kuipenda
Nimesomea cheti cha kuuza duka la dawa muhimu (TFDA)natafuta kazi ni msichana naheshimu kazi na kuipenda
A AZUSA STREET JF-Expert Member Oct 31, 2013 2,007 1,893 Oct 31, 2014 #2 UKO WAPI, mimi nina mpango kufungua uka la dawa muhimu. ulipitia mafunzo ya ADDO