paul castelano
Member
- Feb 20, 2026
- 8
- 6
Habarini ndugu zangu, mm n kijana wa miaka 23 nakaa dar es salaam mabibo, nina leseni ya udereva class D natafuta sehemu ya kujitolea nipate uzoefu zaidi na conntions kama ikiwezekana,, may be una private car au vyovyote vile sihitaji malipo yoyote kwa sasa focus yangu n kupata sehemu ya kujitolea nipate uzoefu zaidi katk kuendesha gari.
Kwa atakae wiwa kunishika mkono mawasiliano yangu ni 0687347334.
Whatsap na normal call
Kwa atakae wiwa kunishika mkono mawasiliano yangu ni 0687347334.
Whatsap na normal call