Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,711
- 4,642
teaching methodology ndo nn? utakalia methodology zako tu, tena ambao hawajasoma hizo methodology ndo wakali balaa! mm mwenyewe graduate bachelor ya SUA, nafundisha fizikia shule flani, imekuwa ya tano kitaifa katika fizikia, adi baraza wananiandalia certificate, nimewatupa zaid ya walim 4000 wenye methodology! kaka we fight ata o-level u can, like me, utapata hela kuliko ata ungekuwa mhasibu, badaye chaneli zitajiset tu!
nice idea!