Natafuta kazi ya houseboy

Natafuta kazi ya houseboy

Shughuli zangu ni za shamba na nafasi bado zipo ila sio kwa sasa, nawekeza kwenye machine ili kuondokana na chalenge za vijana nilizokumbana nazo. nitapost kwa jf when the time come.
Sawa mheshimiwa
 
Mimi ni kijana nimemaliza form 4 mwaka jana natafuta kazi ka heading inavosema mkoa wowote kazi yoyote pia
NB: serious
Upatapo kazi waheshimu wake na mabinti wa maboss wako,maana usije naswa na mtego wa ngono,will lost.
Ushauri tu!
 
Umenikumbusha kijana aliyekuwa anatafuta kazi nikawasiliana nae alikuwa mkoani, nikamleta dar baada ya siku 2 akatoroka kumbe nia yake alikuwa anataka aje dar kuna ndugu zake! gharama zote nilizomgaramia zikawa zimepotea bure.
Wengine cyo waminifu, unachokisema ni kweli, wengi wao huishia kuolewa
 
Naam ni PM mkuu nipo nitafanya kwa unyeyekevu
Mkuu Huyu mtu anadhan tunaoandka thread apa tuna masihara yeye analeta utani tu na sisi tuko serious hana kazi yoyote huyo anazngua tu
 
Wakuu, bado natafuta kazi ambaye anajua sehemu kuna kijana anahitajika kazi yoyote mkoa wowote naomba anijuze au ambaye ana kazi yoyote naomba anijulishe
Mawasiliano 0692252175
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom