Natafuta kazi ya hotel au secretary

Natafuta kazi ya hotel au secretary

Ray 4 real

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
801
Reaction score
764
Habari za asubuhi wanajamvi nimekuja kwenu naomba kusaidiwa natafuta kazi. mm jinsia yangu ni ke na Nina uzoefu katika hotel nimefanya kaz peacock hotel almost 2years as a receptionist baadae nilienda kampuni moja mjini nikawa secretary kwa muda wa mwaka mmoja na nusu ndipo nilipatwa na matatiZo so nikashindwa kuendelea na kaz
binafsi nimesomea hotel na Nina uwezo wa kutumia computer na najua program. Zote na Nina uweZo wa kuongea na kuandika kiingereza na kiswahil.
kwayeyote alieguswa naomba msaada wake ili niweZe kupata kaz maisha magumu...pm itahusika kwa yeyote mwenye nia asanteni
 
Kama upo dar nenda Vijana tower 1st floor near Regency Hospital Fire station road, West Upanga na CV, passport size 1 na original copies of your certificates. Call 0759627145 & 0755350115. Hotel Belveddere

Note: Nenda leo kama unaweza au wapigie. All da best!
 
Nataka kuanzisha restaurant Yang Niko mbioni kama usipopata ntakutafuta
 
Kama upo dar nenda Vijana tower 1st floor near Regency Hospital Fire station road, West Upanga na CV, passport size 1 na original copies of your certificates. Call 0759627145 & 0755350115. Hotel Belveddere

Note: Nenda leo kama unaweza au wapigie. All da best!

asante Mkuu nitaenda
 
Mkuu rkgx pale Vijana tower nimeenda nimepewa interview lakin hawajanipigia until now maana walisema watanipigia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom