kinjaanjaa
Member
- Mar 28, 2014
- 36
- 6
Kijana wangu anatafuta kazi ya clearing & fowarding amehitimu ngazi ya cheti ana uzoefu wa kuvusha magari mpaka wa Tunduma anaweza asscudo ++ utowaji wa magari bandari mshahara maelewano.kazi mahali popote na kampuni yoyote yupo tayari natanguliza shukrani wana jamii.