Natafuta kazi watanzania wenzangu

Natafuta kazi watanzania wenzangu

fahim

Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
54
Reaction score
6
Nawasalimu wanajamvi!,niliwahi kuweka bandiko humu nikitafuta kazi sikufanikiwa!.Naomba jamani munisaidie kazi nami niweze kusurvive dunia hii maana bila naona maisha hayaendi. Me ni( me)Nina ba project planning management&community development kiukwel sina uzoefu wowote lakin naamini kazi naweza ,najituma,muaminifu na mwenye heshima kwa wote.nipo tayar kufany kazi popote hata nje ya field yangu ili mradi nipate kidogo.Naomba msaada wenu.akhsante!
 
Project planning and management, unawaza kuajiriwa ukaplan project za wenzio? Unawaza huwezi survive bila kuajiriwa..........sasa kama umeshindwa kuplan project zako mwenyewe za wenzio utaweza kweli?
 
mkuu hebu tafuta mtu mwenye kampuni ya usafi na ambayo imeshakufa au haiyendeshi tena. atupe sis tuifanyie kazi. kwa maana naona kunafursa mkoa fulani. ukipata nipm na naamini kwa mwaka huenda tukaendesha colora.
 
mkuu hebu tafuta mtu mwenye kampuni ya usafi na ambayo imeshakufa au haiyendeshi tena. atupe sis tuifanyie kazi. kwa maana naona kunafursa mkoa fulani. ukipata nipm na naamini kwa mwaka huenda tukaendesha colora.

njoo mimi nanyo kampuni ila haija operate muda mrefu.
 
Watu wanasoma short course za project planning wanajiajiri wewe umesoma degree unatafuta ajira??
Surely, You are not serious
 
pole kk ajira tit sn mm nimefanya IT nw najitangaza mwenyewe na napata door to door kaz kurepear computer kufanya networking kuwekea mtu program bas ajira inaenda tushatuma sn cv interview mazoez tu adi tushazoeya
 
kuna kazi ya kuuza viatu.kuna kazi ya kuuza dagaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom