Natafuta Kazi/ sehemu ya kujitolea

Mkuu ameomba kazi au sehemu ya kujitolea
hzo nafac za kujitolea ata miaka hii hazipatikan kirahisi ukienda unaambiwa tuna vijana weng sana na ofisi yetu n ndogo atleast education tena kwa vijijin ndio ukijtolea bado unapata nafac. Naongea through experience ila kila mtu ana bahat yake.
 
sio rahisi kama ulivyoandika inhekuwa ni rahisi weng waneshaenda kwenye ofisi za halmashauri.
Huko kumejaa ukiritimba, undugulization, tribalism yaan wengne wanaangaliaga mpaka ubini wa mwisho kama ndugu zetu wale wa "mwa mwa", kilimanjaro na wala ndizi wa kaitaba, sukumaland, usiombee wajae kwenye ofisi but atleast ata hao sukumaland huwa wana kahuruma kidogo ila hao wengne unaweza ukapeleka vyeti cv ya nguvu tena ni kujitolea tu lakn ikaishia kwa secretary.
So Muombe tu Mungu na jitahid sana kutembea kwenye makampun madogo ya private utajifunza sana na unaweza ukaingia kwenye mfumo kwa haraka sana pia usisahau kwa wakina KANJIBAI maana ndio wameteka soko letu la IT kama ndugu zetu wa civil walivyonaswa na Xin hu wa.
Nakutakia kila la heri but usisahau kumwomba sana MWENYEZI MUNGU.
shukrani kwa ushauri mkuu
 
sio rahisi kama ulivyoandika inhekuwa ni rahisi weng waneshaenda kwenye ofisi za halmashauri.
Huko kumejaa ukiritimba, undugulization, tribalism yaan wengne wanaangaliaga mpaka ubini wa mwisho kama ndugu zetu wale wa "mwa mwa", kilimanjaro na wala ndizi wa kaitaba, sukumaland, usiombee wajae kwenye ofisi but atleast ata hao sukumaland huwa wana kahuruma kidogo ila hao wengne unaweza ukapeleka vyeti cv ya nguvu tena ni kujitolea tu lakn ikaishia kwa secretary.
So Muombe tu Mungu na jitahid sana kutembea kwenye makampun madogo ya private utajifunza sana na unaweza ukaingia kwenye mfumo kwa haraka sana pia usisahau kwa wakina KANJIBAI maana ndio wameteka soko letu la IT kama ndugu zetu wa civil walivyonaswa na Xin hu wa.
Nakutakia kila la heri but usisahau kumwomba sana MWENYEZI MUNGU.
Hapa kwenye ukabila si hao tu , asilimia kubwa ya watz ni wakabila .
 
Habari za asubuhi ndugu!

Mimi ni kijana wa kitanzania ninaishi Dar jinsia (me), elimu (shahada ya teknolojia na mawasiliano) nimekuja humu ndani kutafuta connection yoyote ya Kazi/au sehemu ya kujitolea kwenye taasisi yoyote iliyo na uhitaji wa mtu mwenye fani yangu.

Nipo tayari kujitolea sehemu yoyote ila ndani ya dar kwa kuwa itanirahisishia kutatua changamoto zangu za kawaida ila
kujitolea eneo nje ya dar nipo tayar ila gharama za maisha ndizo zitanikwamisha pia.

Kwenye field yangu naweza fanya basic networking naweza fanya (maintenance PC, printers, phones) software and hardware installations, network design (VLAN nafanya but in basic way) hapa kwa anaejua anaweza ona kuna vitu nmesema basic kwa kua nina mda kidogo sijafanya practice thus why nahtaji nafasi ya kujitolea pia ili niongeze ujuzi kazini.

Nipo tayari kufanya kazi yoyote inayofundishika kwa muda mfupi ikitokea kazi ninazo weza kufanya
  • Accounts
  • Sales and Marketing
  • Procurement and Logistics
  • Storekeeper
Nina uzoefu na office (Excel) naweza kuimudu pia kama nikipewa maelekezo, pia kazi yoyote ya mauzo(duka, supermarket) naweza fanya
Hali yangu kwa sasa:
Kwa sasa sina kazi yoyote(jobless) na hii hali ndo inayoniumiza sana akili.

Naombeni msaada wenu kwa hali yoyote

#Asanteni

Contact: 0655 014 671
Tunaitwa Madrassatul Abraar.

Kipaumbele kwa sasa ni watu wa IT, wahasibu, wahasibu wasaidizi, watu wa logistics and supplies, site foreman wa ujenzi. Mafundi ujenzi wenye uzoefu na wasio na uzoefu lakini wenye Nia na wataopenda kujifundisha ujenzi Kwa vitendo. Wake kwa Waume.

Wasiliana nasi kwa WhatsApp 0625249605.

Tupo mtaa wa Vitendo, kata ya Misugusugu, wilaya ya Kibaha,mkoa wa pwani.

Stendi inaitwa Miyomboni Shule au Misugusugu Shule ya msingi.

Ukija unakuja na barua ya utambulisho wa Serikali ya mtaa.

Ukihitaji maelezo zaidi whatsapp 0625249605.
 
Tunaitwa Madrassatul Abraar.

Kipaumbele kwa sasa ni watu wa IT, wahasibu, wahasibu wasaidizi, watu wa logistics and supplies, site foreman wa ujenzi. Mafundi ujenzi wenye uzoefu na wasio na uzoefu lakini wenye Nia na wataopenda kujifundisha ujenzi Kwa vitendo. Wake kwa Waume.

Wasiliana nasi kwa WhatsApp 0625249605.

Tupo mtaa wa Vitendo, kata ya Misugusugu, wilaya ya Kibaha,mkoa wa pwani.

Stendi inaitwa Miyomboni Shule au Misugusugu Shule ya msingi.

Ukija unakuja na barua ya utambulisho wa Serikali ya mtaa.

Ukihitaji maelezo zaidi whatsapp 0625249605.
Shukrani Mkuu
 
Back
Top Bottom