Einsten
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 919
- 774
hzo nafac za kujitolea ata miaka hii hazipatikan kirahisi ukienda unaambiwa tuna vijana weng sana na ofisi yetu n ndogo atleast education tena kwa vijijin ndio ukijtolea bado unapata nafac. Naongea through experience ila kila mtu ana bahat yake.Mkuu ameomba kazi au sehemu ya kujitolea