Tonny Miles Franklin
Member
- Aug 28, 2017
- 69
- 88
Hi wadau,
Nina uzoefu wa kiasi changu kwenye kaz za photography na videography. Nafanya pia editing na niko vyema kwenye setting za Kamera.
Nishafanya kazi kwenye media house moja kubwa na kwenye online tv kubwa hapa Tz kama content creator na videographer..
Kama kuna kaz tafadhal tujulishane wadau.
Ahsante
--------------
Baadi ya kazi nilizowahi kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina uzoefu wa kiasi changu kwenye kaz za photography na videography. Nafanya pia editing na niko vyema kwenye setting za Kamera.
Nishafanya kazi kwenye media house moja kubwa na kwenye online tv kubwa hapa Tz kama content creator na videographer..
Kama kuna kaz tafadhal tujulishane wadau.
Ahsante
--------------
Baadi ya kazi nilizowahi kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app