beautifulonyinye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 728
- 481
- Thread starter
- #81
ni kweli usitaje makabila ya wstu,chizi mmoja akikuzingua.
Maana tabia za watu ni wao binafsi...na si makabila Yao..au rangi zao.
samahanin sana Mkuu ulimi hauna mfupa
ni kweli usitaje makabila ya wstu,chizi mmoja akikuzingua.
Maana tabia za watu ni wao binafsi...na si makabila Yao..au rangi zao.
kuna nafas ya receptionist pongwe bay resrt zanzibar.kama unaweza karibu kwa interview.tuone kama utakua na ubora tunaohitaj tutakuchukua
nitashukuru sana mkuu
ninamdogo wangu ndio anaweza izo kaz na anauzoefu mkubwa hana aja ya mafunzo no +255 719 342 099
kuna nafas ya receptionist pongwe bay resrt zanzibar.kama unaweza karibu kwa interview.tuone kama utakua na ubora tunaohitaj tutakuchukua
mbona nimejieleza tu vzr co mm mdogo wangu wa kikecjakuelewa, unaomba Kazi au
kama kazi posta uliomba,ngoja nikuulizie kwa jamaa yangu yupo pale anafanya kazi
mbona nimejieleza tu vzr co mm mdogo wangu wa kike
Mkuu vp uliniulizia?
Mambo yako yako poa kikazi? Nina deal la kukatia tiketi kampuni fulani hivi ya mabasi, upo ready?
Mkuu nilikujibu pia nilikutumia pm,
mm ujuzi Wa sales and promotion niliupata kwenye makampuni ya marketing kama, Masoko company Ltd, Integrated Communication ltd, na experiential Marketing ltd. na kwa sasa mm nipo Dar es salaam
kama masoko' bila shaka ni kwa carlos,
kama exp' bila shaka ni kwa jovin,
kama inter bila shaka ni pale kwa wazee wa ku-agent!!
sio mbaya unaonekana una uzoefu ila ni mvivu!! si ungejaribu kuwaona NFT consult?