beautifulonyinye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 728
- 481
Habari zenu wana JF.
Mwenzenu naomba mnisaidie natafuta kazi yoyote ya halali ispokuwa ya baa.
Umri wangu ni miaka 24, elimu yangu ni kidato cha nne, Nina certificate in hotel management na Nina uzoefu kama receptionist for almost a year. Lkn pia kazi niliyowahi kufanya ni sales and promotion as a brand ambassador.
Nina uwezo wa kuongea na kuandika lugha zote kwa ufasaha, both Endlish and Swahili . Naomba ndugu zanguni kwa atakayeguswa ani pm na mm nitampa no zangu.
Kwa kumalizia kazi nazoweza kufanya:
1.Office assistant
2.hotelier
3. brand ambassador
4.sales and marketing/shop keeper
5.housekeeper
Na nyingine ambazo ni za halali.
NATANGULIZA SHUKRANI. Nipo Dar es salaam
Mwenzenu naomba mnisaidie natafuta kazi yoyote ya halali ispokuwa ya baa.
Umri wangu ni miaka 24, elimu yangu ni kidato cha nne, Nina certificate in hotel management na Nina uzoefu kama receptionist for almost a year. Lkn pia kazi niliyowahi kufanya ni sales and promotion as a brand ambassador.
Nina uwezo wa kuongea na kuandika lugha zote kwa ufasaha, both Endlish and Swahili . Naomba ndugu zanguni kwa atakayeguswa ani pm na mm nitampa no zangu.
Kwa kumalizia kazi nazoweza kufanya:
1.Office assistant
2.hotelier
3. brand ambassador
4.sales and marketing/shop keeper
5.housekeeper
Na nyingine ambazo ni za halali.
NATANGULIZA SHUKRANI. Nipo Dar es salaam