netti mimi
Senior Member
- Oct 10, 2016
- 147
- 108
Habari zenu naitwa Anneth nipo Dar es Salaam. Elimu yangu ni Shahada ya Elimu.
Naomben kazi yoyote nipo tayari kufanya; hata kufundisha, hata kazi nyingine, muhimu mkono uende kinywani.
Please, natumaini mtanijibu na kufanikiwa.
Mungu awabariki!
Naomben kazi yoyote nipo tayari kufanya; hata kufundisha, hata kazi nyingine, muhimu mkono uende kinywani.
Please, natumaini mtanijibu na kufanikiwa.
Mungu awabariki!