Nmemalza mwaka jana
Nmemalza mwaka jana
Najua ushauri wangu hapo juu kwenu wana vyuo huaga unawachoma saana kwasababu mlipo kua vyuo mlidanganyana sana kwamba mtaan Kazi zipo kibao sasa ukweli ndio huo ulio kutana nao na ushauri nilio toa ukianza Leo kuufanyia Kazi baada ya miaka kumi hautakua sawa na aliyeanza Kazi juzi baada ya hyohyo miaka kumi... sasa we we endelea kuchukua shauri nyepesi na zinazokupa matumaini wakati uhalisia haupo hvyo...
Najua ushauri wangu hapo juu kwenu wana vyuo huaga unawachoma saana kwasababu mlipo kua vyuo mlidanganyana sana kwamba mtaan Kazi zipo kibao sasa ukweli ndio huo ulio kutana nao na ushauri nilio toa ukianza Leo kuufanyia Kazi baada ya miaka kumi hautakua sawa na aliyeanza Kazi juzi baada ya hyohyo miaka kumi... sasa we we endelea kuchukua shauri nyepesi na zinazokupa matumaini wakati uhalisia haupo hvyo...