Natafuta kazi nina MSc ya Finance & Accounting from Mzumbe University...

Shule ni jambo zur sana ktk maisha ya dunia ya leo.na tusisome eti kwa ajil ya kujiliwa hzo masters tunazozisoma ni bure kama hatutafikir khsu ujasiliamal 2ki invest kwenye ujasiliamal nahs 2takua na maendeleo makubwa
 
Shule ni jambo zur sana ktk maisha ya dunia ya leo.na tusisome eti kwa ajil ya kujiliwa hzo masters tunazozisoma ni bure kama hatutafikir khsu ujasiliamal 2ki invest kwenye ujasiliamal nahs 2takua na maendeleo makubwa
<br />
<br />
unahisi eeh! Huna uhakika
 
Wana JF hope wote muu wazima, nimepewa hili ombi na ndugu yangu amemaliza chuo majuzi hapa sasa anatafuta kazi yeye ame specialize kwenye MSc Finance & accounting. anaomba msaada popote aweze pata kazi. namba yake ni 0786 302889 au 0754 302889. nawakilisha shukrani zake za dhati. Asanteni wakuu wa JF.
Mungu wangu!!! Hivi mpaka lini mtaelewa kwamba mambo ya kuungaunga ukitoka bachelor si mazuri? Unaona sasa, ulidhani ukipata masters ndio utapata kazi kirahisi na pia utalipwa zaidi ya mtu mwenye bachelor. Ungekuwa ulitokea kazini si ungerudi sasa kituo chako cha kazi? Ungekuwa umefungua miradi yako, si ungerudi sasa kuiendeleza? Umepoteza muda, kwa elimu ambayo hukuwa na uhakika kama itakusaidia kwenye soko la ajira.
Kwa kweli mimi sina huruma na watu style yako, tena napenda mteseke ili wengine wajifunze. Maisha siyo kushinda kusoma. Ukisoma degree ya kwanza au diploma yoyote unaingia katika ulimwengu wa kuajiriwa au kujiajiri then wasoma upepo huku na interests zako zikikuongoza kwa ajili ya masters kama unaona itasaidia kwa profession yako. Kumbuka unavyosoma zaidi ndivyo pia nafasi za kazi zinapungua, unaweza ukaenda kuomba kazi mahala na kuficha cheti ili upate kazi. Na pia ukiungaunga shule waajiri wengine wanakuogopa kwa kuwa watahitaji kukupa mshahara mkubwa kwa kitu usichoweza ku deliver au kwa kuwa huna experience nacho, yaani bado una utoto utoto wa shule. Halafu nyie wa kuunganisha bachelor kwenda masters huwa mnafikiria kuajiriwa kila siku. Huhitaji masters kufungua mradi wako binafsi. Shule ya duniani ni bora kuliko Msc yoyote. Angalia sasa usije ukaanza kukimbilia Phd. Maana wengine wanadhani maisha ni kusoma tu, utadhani unashindana na watoto wa fulani kijijini. Angalia sasa, usijeishia kuwa frustrated tu.
 
mkuu maelezo yako mbona braket tupu, unasema amemaliza masters hivi majuzi, majuzi ni tarehe, mwezi, au mwaka gani, be specific mkuu
 
Duh! mnamnyanyasa jamani.

Mwambie anitumie ani PM nimuulize maswali kadhaa. Sio kumnyanyasa in Public hapa!

Typical wabongo
 
Mungu wangu!!! Hivi mpaka lini mtaelewa kwamba mambo ya kuungaunga ukitoka bachelor si mazuri? Unaona sasa, ulidhani ukipata masters ndio utapata kazi kirahisi na pia utalipwa zaidi ya mtu mwenye bachelor. Ungekuwa ulitokea kazini si ungerudi sasa kituo chako cha kazi? Ungekuwa umefungua miradi yako, si ungerudi sasa kuiendeleza? Umepoteza muda, kwa elimu ambayo hukuwa na uhakika kama itakusaidia kwenye soko la ajira.
Kwa kweli mimi sina huruma na watu style yako, tena napenda mteseke ili wengine wajifunze. Maisha siyo kushinda kusoma. Ukisoma degree ya kwanza au diploma yoyote unaingia katika ulimwengu wa kuajiriwa au kujiajiri then wasoma upepo huku na interests zako zikikuongoza kwa ajili ya masters kama unaona itasaidia kwa profession yako. Kumbuka unavyosoma zaidi ndivyo pia nafasi za kazi zinapungua, unaweza ukaenda kuomba kazi mahala na kuficha cheti ili upate kazi. Na pia ukiungaunga shule waajiri wengine wanakuogopa kwa kuwa watahitaji kukupa mshahara mkubwa kwa kitu usichoweza ku deliver au kwa kuwa huna experience nacho, yaani bado una utoto utoto wa shule. Halafu nyie wa kuunganisha bachelor kwenda masters huwa mnafikiria kuajiriwa kila siku. Huhitaji masters kufungua mradi wako binafsi. Shule ya duniani ni bora kuliko Msc yoyote. Angalia sasa usije ukaanza kukimbilia Phd. Maana wengine wanadhani maisha ni kusoma tu, utadhani unashindana na watoto wa fulani kijijini. Angalia sasa, usijeishia kuwa frustrated tu.
me i hate people who generalize and i real find it odd kuanza kumsema mtu without reasoning sasa unajua sababu za yeye kurudi shule? We kama hauwezi msaidia mtu si ukae kimya? Kuna umuhimu wa kuongea lolote?
 
<br />
<br />
yaani hili ni wazo la kijasiliamali zaidi lakini atabisha na kushangaa..

Hili wazo ni zuri lakini je Msc Accounting and Finance ni sifa ya kuwa na review class?Hizi ni vitu viwili tofauti lakini vina muelekeo mmoja.
1.Msc In Accounting and Finance in Academic qualification.Na sina uhakika sana kama pale NBAA wanaitambua na kuipa sifa ya kufungua hiyo review class
2.CPA ni professional zaidi,so ubabaishaji wa yule mwalimu wenu wa Accounting hautakiwi.Hapa ni watu wenye profession zao ndo wanafanya kazi,mambo ya ubabaishaji hayapo.
 
Ni-PM nikupe deal uwe tayari kufanya kazi kilwa, rufiji, unguja au msumbij!
 
Back
Top Bottom