Nadhani kuna hoja ya msingi hapa! dely unatakiwa kujibu kabla hatujakulima swali la nyongeza!sijaelewa hapo tafsiri ya diploma ya utawala in bracket ukasema human resource..kama ni utawala ni public administration na human resource ni rasilimali watu..embu weka maelezo ya kina zaidi wadau tujue tunakusaidiaje