Habari za wakati huu kijana mwenzenu apa nimekuja katika hili jukwaa ninashida na mchongo elimu yangu ni form four| veta level ||.
proffesional niliyosoma ni eletrical and eletronics.
Ongeza na ujuzi wa umeme wa magari boss, muda kidogo tu wa kujua componemts za kwenye magari na zifanyavyo kazi, basi unapiga kote kote, ije installation, troubleshooting na vifananavyo.
Ongeza na ujuzi wa umeme wa magari boss, muda kidogo tu wa kujua componemts za kwenye magari na zifanyavyo kazi, basi unapiga kote kote, ije installation, troubleshooting na vifananavyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.