daringvoice
Member
- Jun 27, 2018
- 34
- 17
Kwa wale wanao hitaji mtu wa kumsaidia katika shuguli zao kwa mkoa wa Mwanza nipo ni dm na uniambie unataka kusaidiwa kazi gani?
Tuelewane
Tuelewane
Taja kazi unazoweza kuzifanya. Nina imani baadhi ya kazi huwezi kuzifanya.
Kama atakuja mtu dm akanieleza anacho taka nimsaidie nikawa si uwezo nacho nitamwambia isikupe tabu ndugu tutaelewana dmAsante
Ndio Kama ya mama yakoChura ipo?
SanaHuko mwanza ni jiji kuna vibarua vingi tu vya kufanya..
Ndio Kama ya mama yako
Naaamini mtu mwenye Nia ya kutafuta mtu wa kumsaidia katika shuguli yake yoyote ile atakuja dm sipo kuchagua kazi kwa Sasa kila mmoja na njia zake za kutafuta kitu hivyo ata nikiweka sifa zangu mtu akihitaji chura atahitaji tu.ni mtazamo wako pia mkuuu shukran kwa ushauri wakoSidhani Kama kazi utafutwa kwa dm
Badala kujieleza kazi unazoweza kuzifanya ili wadau wazione wewe unasema waje
Dom,sidhaani Kama lengo lako ni kusaka kazi bila Shaka una lako Jambo
Pamoja na mdau kuja kukueleza hapo ila unesisitiza unataka dm
Ok kila lakheri na dm yako
Utawapata Sana maana wewe Ni ke
Ila jua SI watoa ajira watakuja kukuomba chura
Jiandae kwa Hilo
Naaamini mtu mwenye Nia ya kutafuta mtu wa kumsaidia katika shuguli yake yoyote ile atakuja dm sipo kuchagua kazi kwa Sasa kila mmoja na njia zake za kutafuta kitu hivyo ata nikiweka sifa zangu mtu akihitaji chura atahitaji tu.ni mtazamo wako pia mkuuu shukran kwa ushauri wako
ThanksI'll the best
[emoji1][emoji1][emoji1]Ndio Kama ya mama yako
Kwa intaviu hii hapa umefeliNdio Kama ya mama yako
Kwa wale wanao hitaji mtu wa kumsaidia katika shuguli zao kwa mkoa wa Mwanza nipo ni dm na uniambie unataka kusaidiwa kazi gani?
Tuelewane
Hapa Kuna vitambulisho vya taifaWeka picha basi kazi nyingine ni za reception