Natafuta kazi msimu huu wa sabasaba

Natafuta kazi msimu huu wa sabasaba

Habari zenu Wakuu
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 23, Ninaomba kwa yeyote anayeweza kunisaidia Kazi yoyote katika msimu huu wa sababu , Kama kufanya matangazo ya bidhaa mbalimbali na Kazi nyinginezo zitakasokuwa zinahusika Sabasaba.
Nina uzoefu wa miaka miwili as a brand Ambassador wa kampuni mbalimbali za masoko .. Na najua vizuri kuongea na mteja kwa kujiamini .
Natanguliza shukrani
Jamani,nami pia ntapenda kuungana nanyi kama mtafanikiwa kupata huo mchongo,namba zangu ni 0656415981.
 
American supermarkt wamekanusha hzo habari za ajira msimu huuu wa sabasaba katika page yao ya facebuk...ni wajanja tu wamjini wametengeneza tangazo hata hzo no hazipatikani.
tangu nimechukua hzo no ukipga unaambiwa inatumka na ingne haipatikan...keeeenuuuu..hapa mwwndo wa.kwenda kulekule.ndanii...mim.j4ntaenda tena...atakayekuwepo tujuzane
 
Back
Top Bottom