natafuta KAZI mabosi

toyo

Member
Aug 3, 2012
5
0
jamani dah natafuta kazi nasoma open university bacherol of education.a level nimemaliza azania sec. nipo ready kwa kzi yoyote yenye malipo mzuri.naitwa ibrahimu a. daud contact 0717-927771
 
jamani dah natafuta kazi nasoma open university bacherol of education.a level nimemaliza azania sec. nipo ready kwa kzi yoyote yenye malipo mzuri.naitwa ibrahimu a. daud contact 0717-927771

Maliza kwanza chuo basi mkuu au unataka ukatize masomo?
 
Watu tuko kitaa tangu tumalize masters mwaka wa 6 hakijaeleweka ww bado uko shule unataka kazi
 
jamani dah natafuta kazi nasoma open university bacherol of education.a level nimemaliza azania sec. nipo ready kwa kzi yoyote yenye malipo mzuri.naitwa ibrahimu a. daud contact 0717-927771

Mkuu, umemaliza A level tu unataka kulipwa mshahara mkubwa je ukimaliza hiyo degree? Jua kuna watu wana degree zao lakini wanatamani kazi hata zakuwasogeza siku lakini hawajapata, au sijakuelewa vizuri pale uliposema "kazi yenye malipo mazuri", hapa onaonesha hauna shida ya kazi weye!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom