Utumishi wako fair
JF-Expert Member
- Nov 12, 2021
- 431
- 1,335
Jamani Nipo hapa natafuta kazi.
Kama una ofisi, Taasisi, Mtu binafsi...una Tatizo lolote lile Upande wa Computer au Networking, au Printer . Scanner....( Upande huo wa Tehama)
Naomba unitume mimi nifanye hiyo kazi, Malipo ni baada ya kazi yako kukamilika...
Kazi nakuja kuifanya hapo ulipo ... Location Ya Dar Nakuja bila malipo ya usafiri...
Kama upo nje ya Dar malipo ya usafiri yatakuwepo.
NB: kama pia una ofisi, Taasisi unataka kuniajiri au unaona kuna ofisi inaweza niajiri mtu mwenye sifa kama zangu ni sawa unaweza nipa locations.
Asante 🙏.
Kama una ofisi, Taasisi, Mtu binafsi...una Tatizo lolote lile Upande wa Computer au Networking, au Printer . Scanner....( Upande huo wa Tehama)
Naomba unitume mimi nifanye hiyo kazi, Malipo ni baada ya kazi yako kukamilika...
Kazi nakuja kuifanya hapo ulipo ... Location Ya Dar Nakuja bila malipo ya usafiri...
Kama upo nje ya Dar malipo ya usafiri yatakuwepo.
NB: kama pia una ofisi, Taasisi unataka kuniajiri au unaona kuna ofisi inaweza niajiri mtu mwenye sifa kama zangu ni sawa unaweza nipa locations.
Asante 🙏.