Mimi ni kijana wa kitanzania, ,miaka 25, nina degree ya Accounting and Finance 2011..Natafuta sehemu (kampuni au taasisi ) ntakayo weza kujitolea, kufanya part time au kazi kwa mda ili kuweza kuongeza uzoefu katika kufanya kazi.
nadhani baada ya kukosa kazi ya kulipwa na kila akiomba wanataka uzoefu. nadhani si wazo baya kama akipata wakati anaendelea kutafuta ili akili iwe sambamba na wakati na kutoka pia ni kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.