shaban Khalifa
New Member
- Nov 7, 2015
- 1
- 0
Duh, kazi ni ngumu sana kaka na kwa maslah unayo yahtaj labda ujiajiri mwenyewe kwa taaluma uliyonayo anzisha hata tution yako kwa kujionfeza zaid
Asante sana kwa ushauri kaka.. Bado sijakata tamaa nna struggle niame hii sekta still mambo magumu.Duh, kazi ni ngumu sana kaka na kwa maslah unayo yahtaj labda ujiajiri mwenyewe kwa taaluma uliyonayo anzisha hata tution yako kwa kujionfeza zaid
Asante sana kaka kwa kunitakia kheri.Kaka nakushauri pitia kwenye NGPOs kwa uzoefu wako utapata kazi.mungu akutangulie
Mmh, umejielezea vizuri but huku mwisho inaonekana kama vile unataka kumvalisha mwenzako kaniki ili apate hicho anachokihitaji... Kama hujatumia njia za giza, si uweke hapa mbinu ulizotumia kwa manufaa ya wana JF wote?Nimekuwa mwl.kwa miaka isiyopungua 9 kwa muda wote huo nilikuwa nataka kubadilisha kazi kama wewe.nilifanikiwa mara 3 na sasa niko nafanya kazi siyo kama mwalimu.
Changamoto ni nyingi lakini nima siri ya mafanikio yako.
Kuna mambo mengi lakini kubwa nililoligundua ni "job interview skills" hili ni tatizo la wengi hata wale ambao hawako katika ualimu lakini pia wanahitaji kubadilisha kazi au kuongezewa mshahara lakini wasijue nini cha kufanya.
Nimewasaidia vijana wengi kuhusu masuala hayo.nina uzoefu wa miaka 10.
Kama utahitaji basi ni pm ili tuweze kupanga appointment ili nawe uweze kubadilisha kazi kadri upendavyo.
Kila la kheri.
yani wewe pamoja na master yako hata ukipata kazi nje ya uwalimu bado maisha yatakusumbua tu kwanini nasema hiviMkuu nna hamu sana ya kuanzisha mradi. Hapa nilipo nina idea ya kuanzisha day care au shule na nna uhakika itafanikiwa sana maana nimetumika sana kuwafanyia wengine wakafanikiwa.
Tatizo ni capital mkuu, yani mshahara nnaopata as mwalimu ni aibu ata kuutaja na wote unaishia kwenye matumizi ya lazima kwangu na family ata kusave inakuwa ishu. Ndio maana naona nikipata kazi nyingine yenye angalau mshahara wa kuridhisha naweza kuanza kujipanga taratibu .
Kwa hiyo unapenda kazi kama afisa tawala au afisa utumishi hivi si ndio?Mkuu nna hamu sana ya kuanzisha mradi. Hapa nilipo nina idea ya kuanzisha day care au shule na nna uhakika itafanikiwa sana maana nimetumika sana kuwafanyia wengine wakafanikiwa.
Tatizo ni capital mkuu, yani mshahara nnaopata as mwalimu ni aibu ata kuutaja na wote unaishia kwenye matumizi ya lazima kwangu na family ata kusave inakuwa ishu. Ndio maana naona nikipata kazi nyingine yenye angalau mshahara wa kuridhisha naweza kuanza kujipanga taratibu .
Nimekuwa mwl.kwa miaka isiyopungua 9 kwa muda wote huo nilikuwa nataka kubadilisha kazi kama wewe.nilifanikiwa mara 3 na sasa niko nafanya kazi siyo kama mwalimu.
Changamoto ni nyingi lakini nima siri ya mafanikio yako.
Kuna mambo mengi lakini kubwa nililoligundua ni "job interview skills" hili ni tatizo la wengi hata wale ambao hawako katika ualimu lakini pia wanahitaji kubadilisha kazi au kuongezewa mshahara lakini wasijue nini cha kufanya.
Nimewasaidia vijana wengi kuhusu masuala hayo.nina uzoefu wa miaka 10.
Kama utahitaji basi ni pm ili tuweze kupanga appointment ili nawe uweze kubadilisha kazi kadri upendavyo.
Kila la kheri.