Natafuta kazi, elimu ya kidato cha nne

Natafuta kazi, elimu ya kidato cha nne

bennyb

Member
Joined
May 8, 2014
Posts
31
Reaction score
4
Habari zenu wanajamii forum mm ni mzima wa afya kabisa ila ombi langu ninatafuta kazi ya kuuza duka,supermarket, na hata kampuni hizi za utafiti mwenye kunisaidia naombeni nimezunguka kupata kazi imeshindikana nipo dar elimu yangu kidato cha nne
 
kama unaweza kuuza duka,basi fanya hivi muda si mrefu utakuwa tajiri.tafuta elfu tano,panda gar sehemu ulipo nenda kariakoo.ukifika kanunue,pakiti mbili za sigara,moja ya SM na nyingne ya SPORT ambapo kila pakiti inauzwa 2000.ukiuza pakiti moja unapata 4000,so kwa pakiti mbili utapata 8000.chukua yote 8000,kanunue pakiti nne,mbili za SM,moja ya SPORT,na nyingne moja ya EMBASSY.ukiuza unapata 16000.unaweza ukaendelea kuuza kwa kuzunguka mitaa yote ya kariakoo na kwa siku unaweza uza mpaka pakiti 20 ila inategemeana kuhimili kwako kuzunguka juani.utaweza pata hela nyingi kwa muda mfupi na ukapanua biashara yako au hata kuibadilisha.
 
Natafuta jamani kazi ya kuendesha Gari za kusafirisha mpakani yaani IT. Nina leseni class D na uzoefu wa miaka 7. Nataka kufanya kwa muda wakati najitafuta kuhusu Kuajiriwa au kujiajiri. Mwenye upeo anisaidie napateje maana naambiwa upatikanaji wake pia ni mgumu sana.
 
Du
hivi inakuwaje mtu anaanzisha thread yake kwa kuomba ushaur au msaada
then mtu unakuja badala ya kumjibu au kumshauri unapandikiza sub-thread
ndan ya mada ya mwenzio kuweka mada yako binafs hujui kuanzisha new uzi?binafsi huwa inanikera sana,kama ni wewe umeanzisha uzi wako kwa sensitive isu mtu akuchanganye hv unajifeel vp?
 
kama unaweza kuuza duka,basi fanya hivi muda si mrefu utakuwa tajiri.tafuta elfu tano,panda gar sehemu ulipo nenda kariakoo.ukifika kanunue,pakiti mbili za sigara,moja ya SM na nyingne ya SPORT ambapo kila pakiti inauzwa 2000.ukiuza pakiti moja unapata 4000,so kwa pakiti mbili utapata 8000.chukua yote 8000,kanunue pakiti nne,mbili za SM,moja ya SPORT,na nyingne moja ya EMBASSY.ukiuza unapata 16000.unaweza ukaendelea kuuza kwa kuzunguka mitaa yote ya kariakoo na kwa siku unaweza uza mpaka pakiti 20 ila inategemeana kuhimili kwako kuzunguka juani.utaweza pata hela nyingi kwa muda mfupi na ukapanua biashara yako au hata kuibadilisha.
Dah!!Ushauri mzuri sana huu,ufanyie kazi kijana
 
Du
hivi inakuwaje mtu anaanzisha thread yake kwa kuomba ushaur au msaada
then mtu unakuja badala ya kumjibu au kumshauri unapandikiza sub-thread
ndan ya mada ya mwenzio kuweka mada yako binafs hujui kuanzisha new uzi?binafsi huwa inanikera sana,kama ni wewe umeanzisha uzi wako kwa sensitive isu mtu akuchanganye hv unajifeel vp?

Siyo vizuri kwa kweli kuanzisha thread yako kwenye thread ya wenzio,mie imenitkea hiyo kwenye thread yangu but nikapotezea tu
 
kama unaweza kuuza duka,basi fanya hivi muda si mrefu utakuwa tajiri.tafuta elfu tano,panda gar sehemu ulipo nenda kariakoo.ukifika kanunue,pakiti mbili za sigara,moja ya SM na nyingne ya SPORT ambapo kila pakiti inauzwa 2000.ukiuza pakiti moja unapata 4000,so kwa pakiti mbili utapata 8000.chukua yote 8000,kanunue pakiti nne,mbili za SM,moja ya SPORT,na nyingne moja ya EMBASSY.ukiuza unapata 16000.unaweza ukaendelea kuuza kwa kuzunguka mitaa yote ya kariakoo na kwa siku unaweza uza mpaka pakiti 20 ila inategemeana kuhimili kwako kuzunguka juani.utaweza pata hela nyingi kwa muda mfupi na ukapanua biashara yako au hata kuibadilisha.

Jinamizi
 
kama unaweza kuuza duka,basi fanya hivi muda si mrefu utakuwa tajiri.tafuta elfu tano,panda gar sehemu ulipo nenda kariakoo.ukifika kanunue,pakiti mbili za sigara,moja ya SM na nyingne ya SPORT ambapo kila pakiti inauzwa 2000.ukiuza pakiti moja unapata 4000,so kwa pakiti mbili utapata 8000.chukua yote 8000,kanunue pakiti nne,mbili za SM,moja ya SPORT,na nyingne moja ya EMBASSY.ukiuza unapata 16000.unaweza ukaendelea kuuza kwa kuzunguka mitaa yote ya kariakoo na kwa siku unaweza uza mpaka pakiti 20 ila inategemeana kuhimili kwako kuzunguka juani.utaweza pata hela nyingi kwa muda mfupi na ukapanua biashara yako au hata kuibadilisha.

Theoretically possible, practical ????? Not as simple as ABCD
 
Habari zenu wanajamii forum mm ni mzima wa afya kabisa ila ombi langu ninatafuta kazi ya kuuza duka,supermarket, na hata kampuni hizi za utafiti mwenye kunisaidia naombeni nimezunguka kupata kazi imeshindikana nipo dar elimu yangu kidato cha nne

Piga number 0682 191 596
Au NiPM kwa maelezo ya ziada
 
Habari zenu wanajamii forum mm ni mzima wa afya kabisa ila ombi langu ninatafuta kazi ya kuuza duka,supermarket, na hata kampuni hizi za utafiti mwenye kunisaidia naombeni nimezunguka kupata kazi imeshindikana nipo dar elimu yangu kidato cha nne

nitafute 0768577654
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom