A love
Member
- May 17, 2021
- 93
- 119
Jamani Mimi ninaishi mkoani, elimu yangu ni diploma ya procurement lakini sina kazi , Mimi ni binti wa miaka 24 , ninaishi Mwanza na wazazi wangu lakin kama mnavyojua kuishi hom ni Jambo gumu sana , natamani niende Dar angalau kuanza na mimi maisha yangu lakini sina hata mtaji.
Naombeni kazi yoyote ile inayowezekan kufanya kwa mtoto wa kike, isiwe ya ndani wala mama ntilie, nisaidien mdogo wenu kwa hata mwenye connection.
Naombeni kazi yoyote ile inayowezekan kufanya kwa mtoto wa kike, isiwe ya ndani wala mama ntilie, nisaidien mdogo wenu kwa hata mwenye connection.