Hi wakuu,natumai hamjambo.
Jaman ndugu zangu nilikuwa naomba niwashirikishe hili,natafuta kazi kama vile supermarket,reception hata duka la nguo.
Wasifu wangu;
Form four,college (Nina Advance certificate of Journalism).
Ni mcheshi sana,naongea kiswahili na English kwa ufasaha.
N.B.
Napendelea zaidi Arusha maana ndipo makazi yangu yalipo.
Jaman ndugu zangu nilikuwa naomba niwashirikishe hili,natafuta kazi kama vile supermarket,reception hata duka la nguo.
Wasifu wangu;
Form four,college (Nina Advance certificate of Journalism).
Ni mcheshi sana,naongea kiswahili na English kwa ufasaha.
N.B.
Napendelea zaidi Arusha maana ndipo makazi yangu yalipo.