Natafuta kazi (Arusha)

reneelove

Member
Apr 11, 2016
48
6
Hi wakuu,natumai hamjambo.
Jaman ndugu zangu nilikuwa naomba niwashirikishe hili,natafuta kazi kama vile supermarket,reception hata duka la nguo.
Wasifu wangu;
Form four,college (Nina Advance certificate of Journalism).
Ni mcheshi sana,naongea kiswahili na English kwa ufasaha.
N.B.
Napendelea zaidi Arusha maana ndipo makazi yangu yalipo.
 

Attachments

  • pYYBAFZmx4aARmQDAABPcCQsmFs507.jpg
    pYYBAFZmx4aARmQDAABPcCQsmFs507.jpg
    7.7 KB · Views: 54
Hi wakuu,natumai hamjambo.
Jaman ndugu zangu nilikuwa naomba niwashirikishe hili,natafuta kazi kama vile supermarket,reception hata duka la nguo.
Wasifu wangu;
Form four,college (Nina Advance certificate of Journalism).
Ni mcheshi sana,naongea kiswahili na English kwa ufasaha.
N.B.
Napendelea zaidi Arusha maana ndipo makazi yangu yalipo.
Utapata usihofu
 
Asante mkuu="jambilo, post: 15852714, member: 291006"]Utapata usihofu[/QUOTE]
Asante
 
Hi wakuu,natumai hamjambo.
Jaman ndugu zangu nilikuwa naomba niwashirikishe hili,natafuta kazi kama vile supermarket,reception hata duka la nguo.
Wasifu wangu;
Form four,college (Nina Advance certificate of Journalism).
Ni mcheshi sana,naongea kiswahili na English kwa ufasaha.
N.B.
Napendelea zaidi Arusha maana ndipo makazi yangu yalipo.
Mkuu nipm
 
Mbn attachment yako n ya lips? Afu pia hujasema we we n Jinsia gani! Ke au me?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom