Mashao lole
JF-Expert Member
- Feb 23, 2016
- 484
- 490
- Thread starter
- #21
Mkuu naomba uniwekee vizuri hii link inipeleke mojakwamoja
Mkuu naomba uniwekee vizuri hii link inipeleke mojakwamoja
Wapi mkuu na ni kazi gani?Kazi ipo mshahara laki 2..
Unapenda starehe ... kuuza duka ni kazi?? Ingia shamba ukalime au nenda viwandani - wacha uzembe wa kitoto.. miaka 20-25 ndo umri gani huo?Salam wakuu,
Natafuta kazi nina elimu ya kidato cha nne, umri 20-25 kazi yoyote nikielekezwa naweza kufanya vizuri, kuuza duka la jumla au rejareja, kituo cha mafuta (filling station) naishi Dar.
HahahahaUnapenda starehe ... kuuza duka ni kazi?? Ingia shamba ukalime au nenda viwandani - wacha uzembe wa kitoto.. miaka 20-25 ndo umri gani huo?
Sijui computerKama una cheti cha form four na unajua kutumia computer
Mkuu hiyo kazi bado ipo.!?Kama una cheti cha form four na unajua kutumia computer
Network businessUnachelewa ndugu njoo nikupe mfumo mzuri wa kuingiza Pesa kwa elfu kumi tu na uweze Kupata mtaji wako kwa muda mfupi so zaidi ya wiki mbili ila inabidi uwe serious nakuhakikishia utakuwa na ofisi yako na utapiga Pesa sana Mkuu Namba 0625840448
Mkuu nimeku_PM..Zipo
Mm nina cha form 6 na najua computer kaz zipo mkuu?Kama una cheti cha form four na unajua kutumia computer
Mim najua komputa kama hutojari nikufate inbox unipe details zaid ya hyo kazjZipo
Hiyo 40-45 umemaanisha 400000 - 450000 auMshahara 40_45 kuuza duka upo tayari
Watu wa networking hao bla bla kwa sana, njoo nikupe deal upige hela kila wiki wakati ye kapaukaKama kweli weka hapa huo mfumo wako
Then utafute
Mkuu nipe deal ilo nami pia we ni pm tu au nikupm mimiWatu wa networking hao bla bla kwa sana, njoo nikupe deal upige hela kila wiki wakati ye kapauka