Nenda Tanganyika Arms MoshiMimi nahitaji kumiliki bastola kisheria nitapata wapi
Wadau napata wapi kanzu nzuri kwa hapa dar hasa wilaya ya kinondoni
Kanzu nzuri zipo aina nyingi tu, wengi kama walivyokushauri uende msikiti wa Mtoro.
Mimi Gozi langu huwa nnamuagizia kanzu za darzi (na kofia za mkono) kutoka Comoros, ni nzuri sana kusema kweli (sema zina bei kali na mpaka uwe na mtu wa kukuletea).
Kanzu nzuri zipo aina nyingi tu, wengi kama walivyokushauri uende msikiti wa Mtoro.
Mimi Gozi langu huwa nnamuagizia kanzu za darzi (na kofia za mkono) kutoka Comoros, ni nzuri sana kusema kweli (sema zina bei kali na mpaka uwe na mtu wa kukuletea).