Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
Kwa Dar nenda pale mwenge mpakani Kuna kampuni inaitwa WATU utakuta boda nyingi Sana na BajajNaomba mtu yeyote mwenye kujua mahali wanapokopesha bajaji, nataka nikakope
Kwa Dar nenda pale mwenge mpakani Kuna kampuni inaitwa WATU utakuta boda nyingi Sana na BajajNaomba mtu yeyote mwenye kujua mahali wanapokopesha bajaji, nataka nikakope
NAKUPA USHAURI KIJANAKwendaaa
Wacheki African traders wapo DSM pia ingia Facebook search utawaona Wana huo utaratibu.Jamani wadau naomba kwa mtu yeyote anayejua zile kampuni zinazokopesha bajaji na kurudisha kwa siku aniunganishe nao.
Nipo Morogoaro
SafWacheki African traders wapo DSM pia ingia Facebook search utawaona Wana huo utaratibu.
Kila la kheri