Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 437
- 715
Habari wadau.. Hivi wale wanajiita Yellow Pages bado wapo?? Je na kipataje Kile kitabu Chao kwa ajili ya Kupata contact za Makumpuni??
Lakini pia hivi Hawana Soft copy yao online?? .
Au sikuizi kuna Competitor wao wameibuka? Je naweza Kuwajua?
KWA MWENYE SOFT COPY YA 2020/2021 Naomba aniforwadie
Email yangu ni: Ubunifulink@gmail.com
Lakini pia hivi Hawana Soft copy yao online?? .
Au sikuizi kuna Competitor wao wameibuka? Je naweza Kuwajua?
KWA MWENYE SOFT COPY YA 2020/2021 Naomba aniforwadie
Email yangu ni: Ubunifulink@gmail.com