Natafuta internship(tempo)

Natafuta internship(tempo)

muggyen

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
347
Reaction score
254
Habari zenu jf
Mimi ni kijana wa kiume nimaliza form six mwaka huu nasubiri matokeo.Nina utaalam kiasi kwenye masuala ya computer hasa kwenye field ya graphics designing.Nina uwezo mzuri wa kutumia Adobe photoshop,InDesign na illustrator.Natafuta tempo ama internship kwenye field ya graphics designing au any other related field kwa ajili ya kuongeza ujuzi wangu na pia kupata walau kaallowance.Natanguliza shukrani.
Twaweza wasiliana kupitia whats app
0715 586 612
Kwa call na sms 0625 849 322
 
Pia kama kuna nafasi za tempo supermarket au kwenye telecoms(mitandao ya simu ) sio mbaya mkinifahmisha mimi nipo tayari
 
Nenda JKT tuu Acha Kudanganya watu mimi nina Masters ya Criminal Syndicate Naweza Kuwatambua waongo.
 
Bro cjachaguliwa jkt labda wataniita chaguo la pili
 
kama unataka ujuzi nenda reddit kule kuna photoshop battle,photoshop request,utapata chance nzuri tu ya kujifunza na kuongeza ujuzi...
 
Habari zenu jf
Mimi ni kijana wa kiume nimaliza form six mwaka huu nasubiri matokeo.Nina utaalam kiasi kwenye masuala ya computer hasa kwenye field ya graphics designing.Nina uwezo mzuri wa kutumia Adobe photoshop,InDesign na illustrator.Natafuta tempo ama internship kwenye field ya graphics designing au any other related field kwa ajili ya kuongeza ujuzi wangu na pia kupata walau kaallowance.Natanguliza shukrani.
Twaweza wasiliana kupitia whats app
0715 586 612
Kwa call na sms 0625 849 322


DOGO WEKA KAZI ULIZOWAHIFANYA TUZIONE ILI TUAMINI KWELI UNAJUA!!!
 
Diuuuh Saturday wagumuuu Toeni chance hizo mbna figissu nyingii??
 
Back
Top Bottom