Habari zenu wadau wa JamiiForums,
Nina ombi kama kuna mtu yeyote anaeweza kunisaidia kupata internship kwenye kampuni yoyote ile ya Electrical Technician anisaidie.
Au kama una kazi yoyote kuhusiana na Electrical Technician.
Mimi ni graduate wa Diploma katika masuala ya Electrical Engineering.
Asanteni
Nina ombi kama kuna mtu yeyote anaeweza kunisaidia kupata internship kwenye kampuni yoyote ile ya Electrical Technician anisaidie.
Au kama una kazi yoyote kuhusiana na Electrical Technician.
Mimi ni graduate wa Diploma katika masuala ya Electrical Engineering.
Asanteni