Wana-JF,
Natafuta matank aina ya IBC. Nataka kununua hivyo naulizia upatikanaji wake na bei zake.
Niko Dar es Salaam. Mwenye kufahamu wapi nitapata haya matank ya IBC aniambie na pia nitayapata kwa bei gani.
Naambatanisha picha ya IBC tank.
![]()
Mkuu naomba nieleze utofauti uliopo katika nyanya ya lifetime, ukiyalinganisha na yale ya simtank au sijui Kiboko.