Kama wadau walivyosema dish linamove
Na satelite zinakuwa na kitu wanaita beam, ni coverage ambayo hio satelite inatoa, hivyo kwa nchi tunazopakana nazo mfano Rwanda, Congo, Uganda, Kenya etc unategemea same provider awe anacover zote, ila Nchi za mbali inawezekana zisiwe na coverage za huyo Isp.
Pitia hapa kuwaona isp wa satelite
- All about XXI Century Technologies
isp.today
Na bei ni ndefu kidogo jiandae dola 100 kupanda kwa mwezi.