Kwa njia ya kwenda posta atafute sehem za mwendokasi tu, japo hostel wamiliki hua wanataka wanafunzi sana. Ni bora ajichange tu asogee zake maeneo ya Tiptop Manzese hapo anaeza pata chumba hata kwa 60k kizuri tu na usafiri wa mwendokasi uhakika yani.
Au urahisi zaidi ni kama atakaa Kigamboni, japo kule usafiri wa ferry sio wa kutegemea sana.
Ungewahi mapema kuandika hii ningeweza kumuachia ninapokaa pakamsogeza, kuna mtu tayari sahivi.